Skip to main content

BARAKOA KWA WAJASIRIAMALI


Kufuatia ongezeko kwa maambukizi ya visa vya korona nchini mbunge wa Kajiado Kaskazini Mheshimiwa Joseph Manje alihakikisha kuwa jimbo lake linachukua njia mwafaka ya kujikinga na virusi vya Codiv 19 kwa kusambaza barakoa hasa kwa wafanyabiashara eneo ya Rongai na viunga vyake.

Mbunge Manje alisema kuwa ipo haja ya raia kuchukua jukumu ya kujilinda kwa kuzingatia maagizo yanayotolewa na wizara ya afya.

"Wahudumu wa bodaboda na wale wa uchukuzi ya umma hakikisheni mnajilinda vyema, pamoja na kuwalinda wateja wenu, vaa barakoa, tumia viyeyuzi na kunawa mikono kwa sabuni" Mbunge Manje alisema.

Barakoa zaidi ya 3,000 alizotoa mbunge huyo kama msaada zimetengezwa katika kiwanda cha Vicodec  Rongai na kuundwa kisasa, vilevile mtumiaji anauwezo wa kurudia kuvaa pindi anapotumia, hii ni kutokana na uwezo wa barakoa hizo kufuliwa bila ya kupoteza ubora wake.

Ni kauli iliyoungwa mkono na mwenyekiti wa bodaboda rongai aliyesema kwamba janga la Korona limeadhiri biashara hiyo pakubwa kutokana na baadhi ya wajasiria mali hao kukosa uwezo wa kununua barakoa kila siku. 

Kadhalika idara ya usalama nchini limetoa taadhari kwa wananchi kutonunua maski ovyo kwani matapeli wanatumia maski chafu, maski zilizotiwa dawa kuwahadaa raia. 

Comments

Unknown said…
Tunashukuku kwa wale walio pata ila kuna wengine atuja pata watupee tafadhali tusije tukaambukiswa

Popular posts from this blog

IS MOSITET BEING GROOMED TO BE THE NEXT KAJIADO GOVERNOR

By Erick Wanjala, In a show of solidarity and compassion, the chair of KIRDI and the first Kajiado county senator Hon Eng Mositet has rallied close friends and well-wishers to donate food and essential items to vulnerable families affected by the ongoing economic hardships. Gubernatorial Aspirant Mositet together with CS in charge of the gender docket Hon Ruku and Kajiado county Woman Rep Hon Leah Sopiato Sankaire , led the initiative in Kajiado North , where hundreds of residents gathered to receive food packages consisting of maize flour, beans, rice, cooking oil, and hygiene supplies. Speaking during the food distribution event at Em bulbul, Eng Mositet said the gesture was inspired by the random  talks he had we the people on ground while rallying  support for the current regime to continue delivery of the Kenya Kwanza Manifestos. “When I was senator I lobbied for resources for many of our people in the entire county. With the on going confusion I get reports that families...

Principal Secretary Justice,Human rights and Human rights Affairs Hon Pareno Calls on Upholding Rule of law.

  Photo Caption;Ps Justice,Human Rights and Constitutional affairs addressing the media .   The principal Secretary  Justice , humanrights and Constitutional affairs Hon Judith has called on Kenyans to respect the rule of law and operate within the frameworks established by the Constitution, emphasizing the importance of unity and accountability in a diverse nation. Speaking during the launch of a report on milestone in accessing to information by the office commission on administrative justice (Ombudsman) in Nairobi , Ps Pareno, urged citizens to abide by the law and reject acts that undermine national cohesion, adding that legal institutions remain the cornerstone of a just and democratic society. “We must work within the confines of our legal framework. The law is not an enemy of progress, but a pillar that supports our shared values as a people,” said Hon Pareno. The PS also challenged different actors and stakeholders to be at the forefront in p...

ANCOFF THE COFFEE BRAND SHAKING AND SHAPING UP THE INDUSTRY.

From  right is Mr Billy Otieno owner AnCoff receiving best brand award from Mr Ndung'u Nyoro ,holding the photo from the left is Grace Njaramba a dedicated team player at AnCoff's. By Erick Wanjala  AnCoff a new coffee brand launched by a young entrepreneur Mr Billy Otieno is rapidly rising to prominence, earning recognition alongside established giants in the sector. The brand, introduced less than two years ago, has become a household name among coffee lovers for its unique blends, rich aroma, and focus on quality sourcing from local farmers and samples from the international market. Industry experts say its meteoric growth is reshaping the market and offering healthy ground to the coffee trailblazers. Speaking during the East Africa Best Brand Award, Billy  the founder attributed it's success to a commitment on innovation and authenticity.  “Our mission is simple — to create coffee that tells the story of our farmers while giving customers an unmatched...