Skip to main content

BARAKOA KWA WAJASIRIAMALI


Kufuatia ongezeko kwa maambukizi ya visa vya korona nchini mbunge wa Kajiado Kaskazini Mheshimiwa Joseph Manje alihakikisha kuwa jimbo lake linachukua njia mwafaka ya kujikinga na virusi vya Codiv 19 kwa kusambaza barakoa hasa kwa wafanyabiashara eneo ya Rongai na viunga vyake.

Mbunge Manje alisema kuwa ipo haja ya raia kuchukua jukumu ya kujilinda kwa kuzingatia maagizo yanayotolewa na wizara ya afya.

"Wahudumu wa bodaboda na wale wa uchukuzi ya umma hakikisheni mnajilinda vyema, pamoja na kuwalinda wateja wenu, vaa barakoa, tumia viyeyuzi na kunawa mikono kwa sabuni" Mbunge Manje alisema.

Barakoa zaidi ya 3,000 alizotoa mbunge huyo kama msaada zimetengezwa katika kiwanda cha Vicodec  Rongai na kuundwa kisasa, vilevile mtumiaji anauwezo wa kurudia kuvaa pindi anapotumia, hii ni kutokana na uwezo wa barakoa hizo kufuliwa bila ya kupoteza ubora wake.

Ni kauli iliyoungwa mkono na mwenyekiti wa bodaboda rongai aliyesema kwamba janga la Korona limeadhiri biashara hiyo pakubwa kutokana na baadhi ya wajasiria mali hao kukosa uwezo wa kununua barakoa kila siku. 

Kadhalika idara ya usalama nchini limetoa taadhari kwa wananchi kutonunua maski ovyo kwani matapeli wanatumia maski chafu, maski zilizotiwa dawa kuwahadaa raia. 

Comments

Unknown said…
Tunashukuku kwa wale walio pata ila kuna wengine atuja pata watupee tafadhali tusije tukaambukiswa

Popular posts from this blog

DETERMINED KAJIADO NORTH FEMALE MCA POISED TO MAKE HISTORY IN MALE DOMINATED MEMBER OF COUNTY ASSEMBLY RACE

Kajiado county Opinion leader and Ololua ward incoming MCA Madam Susan Mbandi   A wave of political change is sweeping through Kajiado North Constituency  as a respected management professional emerges as a strong contender for the Ololua ward Member of County Assembly (MCA) seat, with growing public support and intelligence reports indicating she could become the first woman ever elected in the traditionally male-dominated constituency and Kajiado county at Large. Madam Susan Mbandi MCA aspirant, whose background in management and community leadership has earned her admiration across various sectors, has steadily built a reputation as a results-oriented leader focused on accountability, youth empowerment, and economic transformation. For decades, the natives Ololua ward’s political landscape has largely been controlled by male politicians, with many women facing cultural barriers, limited financial backing, and societal stereotypes whenever they attempted to vie f...

ANCOFF THE COFFEE BRAND SHAKING AND SHAPING UP THE INDUSTRY.

From  right is Mr Billy Otieno owner AnCoff receiving best brand award from Mr Ndung'u Nyoro ,holding the photo from the left is Grace Njaramba a dedicated team player at AnCoff's. By Erick Wanjala  AnCoff a new coffee brand launched by a young entrepreneur Mr Billy Otieno is rapidly rising to prominence, earning recognition alongside established giants in the sector. The brand, introduced less than two years ago, has become a household name among coffee lovers for its unique blends, rich aroma, and focus on quality sourcing from local farmers and samples from the international market. Industry experts say its meteoric growth is reshaping the market and offering healthy ground to the coffee trailblazers. Speaking during the East Africa Best Brand Award, Billy  the founder attributed it's success to a commitment on innovation and authenticity.  “Our mission is simple — to create coffee that tells the story of our farmers while giving customers an unmatched...

WILL WAKILI SHADRACK WAMBUI KAJIADO NORTH CONSTITUENCY MP ASPIRANT YOUTH CENTRIC POLITICS REDEFINE KAJIADO COUNTY AND KAJIADO NORTH CONSTITUENCY POLITICS ?

Photo Caption; High Court Lawyer Shadrack Wambui. By Erick Wanjala  In Kajiado county's evolving political landscape, a new breed of aspirants is quietly but effectively reshaping the path to leadership by investing heavily in youth-focused programs. A case study is one by Wakili Shadrack Wambui Kajiado North Constituency mp aspirants, Who through his Sheria mtaani advocacy on the land rate issue and Boxing  has pulled the Ololua ward especially EmbulBul Area and Rongai Ward where a pool of voters come from whom are believed to form his strong support base for Wakili to  potentially unseat the current leader come 2027 election cycle . Across several constituencies in Kajiado county Wakili Shadrack  has gained remarkable traction among young people through consistent engagement—organizing  sheria mtaani mentorship forums, Boxing  tournaments, digital skills training, empowerment drives and food drive for the elderly. While such initiatives may ap...