Skip to main content

MBUNGE MANJE ADHIBITI CORONA





Maeneo 23 madogo katika jimbo la Kajiado Kaskazini yamenufaika na vituo vya kunawa mikono, pamoja na barakoa zaidi ya 5,000 zilizotolewa katika mfuko wa Hazina ya majimbo maarufu kama NGCDF chini ya usimamizi mkuu wa Mbunge wa Kajiado Kaskazini Mheshimiwa Joseph Manje.

Hafla hii ilizinduliwa na Mwenyekiti wa hazina hii mapema hapo jana na kuhakisha kuwa zoezi hili linakuwa endelevu kwa umma. 

Kando na taasisi mbalimbali kupendekeza kuwa mbunge wa Kajiado Kaskazini ni miongoni mwa mfuno mwema wa kuigwa kutokana na uchapakazi kazi, baadhi ya majimbo nchini wameomba kupitia muhimili wa bunge kuandaa safari maalum ya kuzuru miradi ambayo mbunge Manje ameanzisha hadi kufikia sasa. 

Kadhalika Manje anaema ipo haja ya kusimama kidete na kuhakikisha kuwa Kajiado Kaskazini inapambana na janga la Korona,  kwa sasa visa viwili vilivyo ripotiwa kuwa ni Codiv +  vimebainika kuwa siyo hii ni kwa mujibu wa wizara ya afya kupitia kwa mganga mkuu. 

Comments

Unknown said…
Good initiative.
Mark said…
Hope we could get the engineera to say one that open with the leg
Just saying

Popular posts from this blog

DETERMINED KAJIADO NORTH FEMALE MCA POISED TO MAKE HISTORY IN MALE DOMINATED MEMBER OF COUNTY ASSEMBLY RACE

Kajiado county Opinion leader and Ololua ward incoming MCA Madam Susan Mbandi   A wave of political change is sweeping through Kajiado North Constituency  as a respected management professional emerges as a strong contender for the Ololua ward Member of County Assembly (MCA) seat, with growing public support and intelligence reports indicating she could become the first woman ever elected in the traditionally male-dominated constituency and Kajiado county at Large. Madam Susan Mbandi MCA aspirant, whose background in management and community leadership has earned her admiration across various sectors, has steadily built a reputation as a results-oriented leader focused on accountability, youth empowerment, and economic transformation. For decades, the natives Ololua ward’s political landscape has largely been controlled by male politicians, with many women facing cultural barriers, limited financial backing, and societal stereotypes whenever they attempted to vie f...

ANCOFF THE COFFEE BRAND SHAKING AND SHAPING UP THE INDUSTRY.

From  right is Mr Billy Otieno owner AnCoff receiving best brand award from Mr Ndung'u Nyoro ,holding the photo from the left is Grace Njaramba a dedicated team player at AnCoff's. By Erick Wanjala  AnCoff a new coffee brand launched by a young entrepreneur Mr Billy Otieno is rapidly rising to prominence, earning recognition alongside established giants in the sector. The brand, introduced less than two years ago, has become a household name among coffee lovers for its unique blends, rich aroma, and focus on quality sourcing from local farmers and samples from the international market. Industry experts say its meteoric growth is reshaping the market and offering healthy ground to the coffee trailblazers. Speaking during the East Africa Best Brand Award, Billy  the founder attributed it's success to a commitment on innovation and authenticity.  “Our mission is simple — to create coffee that tells the story of our farmers while giving customers an unmatched...

WILL WAKILI SHADRACK WAMBUI KAJIADO NORTH CONSTITUENCY MP ASPIRANT YOUTH CENTRIC POLITICS REDEFINE KAJIADO COUNTY AND KAJIADO NORTH CONSTITUENCY POLITICS ?

Photo Caption; High Court Lawyer Shadrack Wambui. By Erick Wanjala  In Kajiado county's evolving political landscape, a new breed of aspirants is quietly but effectively reshaping the path to leadership by investing heavily in youth-focused programs. A case study is one by Wakili Shadrack Wambui Kajiado North Constituency mp aspirants, Who through his Sheria mtaani advocacy on the land rate issue and Boxing  has pulled the Ololua ward especially EmbulBul Area and Rongai Ward where a pool of voters come from whom are believed to form his strong support base for Wakili to  potentially unseat the current leader come 2027 election cycle . Across several constituencies in Kajiado county Wakili Shadrack  has gained remarkable traction among young people through consistent engagement—organizing  sheria mtaani mentorship forums, Boxing  tournaments, digital skills training, empowerment drives and food drive for the elderly. While such initiatives may ap...